AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulikuwa na show kubwa ya muziki ambayo ilifanyika katika viwanja vya Ledears Club ambapo katika show hiyo iliwakutanisha Diamond Platnumz pamoja na Ali Kiba ambao kila mmoja alipata mapokezi tofauti kutoka kwa mashabiki wao.
Katika show hiyo kuna baadhi ya mashabiki ambao walikuwa na furaha kushuhudia show ya wakali hao wawili wakati show inaendelea msanii Diamond Platnum aliweza kuwarushia noti za buku mbilimbli mashabiki wake.Kufuatia kitendo hicho ndipo msanaii Queen Darleen amefunguka na kusema kuwa dawa ya machupa stejini ni pesa. "Machupa kiboko yake pesaa,tunasaka hela na wewe saka "
Mashabiki wa Queen Darleen wameonyeshwa kutofurahishwa na kauli ambayo imetolewa na dada wa nyota wa muziki Diamond Platnum na wao wanaamini kuwa msanii huyo anazidi kuchochea bifu iliyopo kwa mashabiki wa Diamond pamoja na Ali Kiba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
acha ushabiki wa kijinga wewe
ReplyDeleteNa yeye roho inamuuma ndugu yake kurshiwa machupa, yeye aliyeandika na hao waliorusha machupa nani anachochea bifu? Kwa sababu Kuna siku uwanja wa burudani utageuka wa vita mashabiki wa D watachoka msanii Wao arushiwe makopo kila siku hili jambo linachukuliwa mzaa ipo siku yatatokea madhara makubwa
ReplyDeleteACHA KUOMBA CORABO
ReplyDeleteMdau hapo juu umenena....Anonymous 29,2015 at 2:32PM
ReplyDeletekiki
ReplyDelete