AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chikawe amesema CUF wakiongozwa na kiongozi wao walikaidi amri ya polisi, na ndiyo maana walipigwa.
Pia ameongeza kuwa CUF inatafuta umaarufu wa kisiasa na huruma ya wananchi.
"Jeshi la polisi halitamuogopa,kumhofia mtu,ninawaagiza polisi nchini kote kufanya kazi yao bila hofu wala kumuogopa mtu"- Chikawe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tanzania tunaenda pabaya. Kibao kikibadilika wataonja fimbo nao kama wanavyowafanyia wenzao. Pole Mh. Lipumba.
ReplyDeleteHivi walikuwa wanaadhimisha kitu gani cha kupendeza kukumbushia watu waliokufa wakikaidi utii wa sheria bila shurti
ReplyDelete