AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunty alifunguka ishu hiyo kwa upole, ambapo alisema kifo cha wazazi wake kilimfanya kulelewa na bibi yake pamoja na shangazi.
“Kutokuwa na wazazi ni pigo kubwa kwangu, lakini hata hivyo naamini kwamba mwanangu atakuwa na furaha ambayo nilikuwa naipata kutoka kwa wazazi wangu, atakuwa ni zaidi ya rafiki au ndugu, ndiye atakayenifuta machozi ya kufiwa,” alisema Aunty.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mpe matunzo mazuri mtoto wako tangu akiwa tumboni,
ReplyDeleteachana na starehe zisizo na maana kwa sasa,pombe,sigara,club n.k.
ivipe kisogo.