AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Binadamu wengine bana wanadhani ustar unakuja kwa kuandikwa kwenye magazeti tu.
Yaani mtu anakosa kazi ya kumfanya aandikwe magazetini basi anaona andikwe kupitia watu.. eti unawafata watu wa magazeti na kuanza kusema uongo kisa uonekane unanijua sana.. dah eti nina watoto wanne? We unawajua? Mama zao wataje basi, na magazeti mengine uchwala kweli ati mtu anakuja kuwaambia muandike kitu nanyi mnaandika..ntakuja kuwaambia mjiandike na nyinyi..huna ushahidi wowote na jambo unaandika kweli?
Ila ipo siku yenu mtafurahi tu in shaa allah...kila jambo linakuja kwa sababu.. alhamdulillah..."
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
pole wangu hapo kiukweli wamekukosea hawakuulizi wanaandika ili gazeti liuzike. wakati mwingine nawe umezidi michepuko.
ReplyDeleteHahahahahahahahah! Umeuma,umepuliza.
DeleteHahahaaa!
DeleteUmeona enhh, ametafuna na kupuliza.........!!