AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
alitupia picha mtandaoni akiwa na mwanadada Irene Uwoya (Hiyo hapo juu) na kuwa “tag” mastaa kibao wa filamu wa hapa Bongo.
Hali hii ilisababisha watu wengi kuhoji kama Manaiki ameamua kumchumbia Irene baada ya Wolper kuzingua au nini?, maswali hayo hayakupata majibu lakini wapo baadhi walidai kuwa Manaiki kwasasa ana project mpya ya kutengeneza filamu ambayo itawashirikisha mastaa zaidi ya 30 wa hapa bongo, na hivyo basi Uwoya anaweza kuwa ni moja kati ya mastaa amabo watashiriki.
Tuendelee kusubiri, muda utaongea!!!.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ila kunguru hafugiki iwapo Irene atafanikiwa kumfuga kunguru asimtoroke tutamzawadia medali ya Dhahabu
ReplyDeleteProject! Kama kuoa c lazima aoe wasanii wenzake!
ReplyDeleteJamaa ana msururu wa mademu yaani hadi raha!
ReplyDelete