AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana Siku Nzima Msichana huyu anayejulikana kama Nice Chande ama @mwakalicious24 amepaishwa sana kwenye mitandao ikisemekana kuwa Rais kamchangua kuwa Mkuu wa Wilaya ...Watu wengi waliguswa hasa kutokana na umbo lake matata ....Bado hatujapata ukweli wa jambo hili lakini haraka haraka nimeangalia majina ya wakuu wa Wilaya wapya sijaona jina lake labda awe anatumia jina jingine ...Jionee Picha zaidi Hapa Chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kama kweli kateuliwa kuwa mkuu wa wilaya basi uteuzi utenguliwe kwani hana maadili hivyo hana sifa ya kuwa mwakilishi wa rais.
ReplyDeleteHalali yake kupewa
ReplyDeleteTuambie ni wilaya ipi ili tuulize
ReplyDeleteHuyu Nice alikuwa demu wa Profesa Jay alimtoa Dodoma alipoenda Tour miaka ya 2003 - 2005 alikuwa mshamba kusema ukweli hata simu ya kwanza ya camera alinunuliwa na Profesa Jay alipoingia mjini/ alipozoea Jiji akamtoroka. Akaenda Bongo Movie. Ni kweli mzuri sana tena sana hata mimi ni mwanamke lakini namsifia mwanamke mwenzangu ila hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi.
ReplyDeleteMaisha ndo yalimfanya awe hivo lakini akipewa anaweza mama yangu, Hakuna binadamu asiye weza hapa ardhini na uongozi ni taasisi na siyo mtu
DeleteHuyu ndio aliimbiwa kua katolewa sitimbi?
Deleteatajirekebisha mwacheni
ReplyDelete