AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ommy akizungumza katika kipindi cha Uheard na Soudy Brown amesema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platinum.
Hata hivyo, Aunty Ezekiel ambaye ni rafiki wa Wema amesema kuwa rafiki yake huyo alikwenda nchini Afrika Kusini kufanya video mpya ya ngoma ya Ommy.
Wiki hii pia picha nyingine zilisambaa Wema akiwa na aliyekuwa mume wa Zari wakiponda raha nchini humo na kuzua sintofahamu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pumbavu sana,so kama ulikuwa umelala what's different?si mlikuwa mnavunja amri,kama ni project ya attetion basi mmeipata mabedui wakubwa nyie.
ReplyDeleteHA HA HA HA ANACHEKESHA SANA
ReplyDeletewambea nyie muacheni Wema!
ReplyDeleteha ha ha ha jamani!!!
Deletewanzinzi tu wote hao
ReplyDelete