AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Jana Askofu Gwajima kuzimia wakati akijojiwa na Polisi kuhusu kumtukana Hadharani Askofu Pengo , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda naye amemtaka Askofu Gwajima kufika ofisini kwake Jumatatu Kujieleza kwanini alitoa Maneno hayo machafu kwa Askofu mwenzake ....
"Hatuamini kama kweli imefikia wakati sasa nyumba za ibada zinatumika kama sehemu za kupashana badala ya kuhuburi injili ili watu waokoke"..alisema Paul Makonda
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Huyu Makonda mbona anaingilia kazi za Police?
ReplyDeleteMtuhumiwa aje office kwako umuhoji, lol. Kazi za kupeana ndio hivyo watu wanakurupuka tuu
ha ha ha hii habari na comments..mie mbavu sina.....oohh
ReplyDeleteHana lolote huyo mäkonda shushu wa chukua chako mapema
ReplyDeleteNone your bizness makonda,umepewa ukuu wa wilaya tu unaanza kujifanya polisi kwa kila kitu,waachie polisi wafanye kazi zao,wilaya ya kinondoni ina mambo mengi ya kushughulikia,inaoneka hicho cheo hukutegemea.
ReplyDeletecheo kimekuchanganya makonda mpaka unaingilia mambo ambayo haya kuhusu la warioba lilikushinda haya ya wengine utayaweza
ReplyDeletemakonda paul, udc wako suti kubwa,mabega madogo hayo, rungu ulopewa unataka kupigia hata mavi wewe, acha vyombo husika vifanye kazi yake
ReplyDeletemkuu wa wilaya! umhoji gwajima kivipi! umekurupuka kama braza k wa futuhi,waachie polisi kaz yao
ReplyDeleteMakonda fanya yako tena kwa,bidii! Huyu Gwagima,hakuhusu kabisa ndio maana Kakobe alikupa za uso kabisaaa fanya yako na ya ngoswe mwachie ngoswe
ReplyDeleteHEE MAKUBWA HAYA!!!
ReplyDeleteHEEE AMEKUWA HAKIMU??
ReplyDeletemh kwa namna hii nadhan mkuu wa moa nae anatakiwa amuhoji, diwan wake amuhoji, balozi amuhoji mtendaji naye amuhoji yaan mpaka meya anatakiwa amuite osifini kwake ikiwa tu ataenda kwa mkuu wa wilaya kuhojiwa
ReplyDelete