AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jokate |
Ishu ya Jokate kutupia picha za nusu utupu mitandaoni si mpya, mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kwa tabia yake hiyo kiasi cha kuwakera wanakwaya hao wa kanisa analosali la Saint Peter lililopo Oysterbay jijini Dar.
Mbali na picha hizo, safari hii anaandamwa na skendo mpya ya kudaiwa kukata mauno mbele ya midume anapokuwa kwenye shoo zake baada ya kutumbukia kwenye muziki wa Bongo Fleva.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hebu washut up!! Mwenzenu anapiga picha kwa mambo yake muhimu kama hapo ni video yake daaaah kwahiyo mtu asifanye mambo yake yanayompa kula kisa mwanakwaya??? WAo je wako sahihi? Mxiuuu au kwa vile hatuwajui
ReplyDeleteTOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO NDIO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO!!! ALIYE MSAFI KWENYE KWAYA HIYO AWE NA UJASIRI WA KUMWAMBIA JOJO UNATUAIBISHA
ReplyDeletestupid news
ReplyDeleteyakaisari mpe kaisali na ya Mungu mpe Mungu achague sehemu moja
ReplyDeleteWanakwaya ... do you own her? Hebu na nyie waandishi pia mwacheni. You are too thirsty for news mnaboa.
ReplyDelete