Watanzania Twazidi Kuwa Juu kwenye Burudani Africa..Mtanzania Ashinda Shindano la Airtel Trace Music

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kijana anayejulika kama Mayunga ameitoa kimasomaso Tanzania baada ya kushinda shindano la music lijulikanalo kama Airtel Trace Music lililoshirikisha nchi kumi na mbili za Africa ,  shindano hilo lilifanyika jumamosi iliyopita nchini Nairobi ..Kwa ushindi huo Mayunga amepata deal la kuwa chini ya Record label ya Mwanamuziki Akon ijulikanayo kama Kon live na  Universal music Group.... Mayunga anaungana na kina Diamond na Idriss katika kuitangaza Tanzania vizuri katika ramani ya Dunia kwenye maswala ya burudani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad