AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Chama cha Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) hivi karibuni, Askofu Pengo alitoa wito kwa waumini kuachwa huru wafanye maamuzi yao wenyewe juu ya kuipigia kura ya ndiyo au hapana Katiba Inayopendekezwa badala la kushinikizwa na viongozi wa dini kuipigia kura ya ‘hapana’ katiba hiyo.
Aidha, amesema kamwe hawezi kubadili kile alichosema kwani ni ukweli anaouamini na alishaweka hilo wazi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
asiyekujua nani Kadinali? kauli zako nyingi kama si zote ni za kujipendekeza tu kwa serikali hata kama wanafanya makosa...anyway.. siyo kosa lako ndivyo mlivyo nyie wa kutoka Rukwa aka sumbawanga
ReplyDeleteanataka tuseme kweli kisha tukamatwe......hana lolote
ReplyDeleteWote magaidi tu wa Garsia hmna lolote, kama ni free country kwa nini watu wasie free kufanya yao, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe,,,,,, waachwe wana TZ wachague wenyewe.
ReplyDeleteHUYU NAE MWIZI TU HANA LOLOTE
ReplyDelete