AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari zilizotufikia hivi karibuni ni kwamba Ostazi Juma na Musoma amechoka mbaya. Habari hizi pia zimethibitishwa na PNC, yule msanii aliyempigia magoti Ostazi kumuomba msamaha na kujikuta akidhalilisha kwa Video na Picha kuwekwa mtandaoni na Juma
Kweli wahenga walisema you'll pay da price to be da boss na sasa Ustadh yupo katika wakati mgumu anasota na wire kama Dallas wa Wolper.
Tupe Maoni yako
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Jamaa alikua mtumiaji mzuri akawa anamwaga pesa kwawanamziki iliatajwe jina huki wazazi wake wakiishi maishamagumu sana hatawadogo zake walifukuzwa shule kwakukosa ada.km mzazi wako hanafuraha basi hatamipango yakohaitakaa sawa
ReplyDeleteSiku zote jogoo la shamba haliwiki mjini.. Anamuiga Ndama mtoto wa N'gombe
ReplyDeleteAcheni majungu jamaa bado ni taita njooni hapa sinza karibu na lion hotel nyuma ya nyumba ya mzee Mabuyu utamkuta akiwa fleshi kabisa.Ana pesa na magati ya maana na vijana wengi wanafika kupata misaada toka kwake hata nyie mnakaribishwa mje mpate mahela sio kama yale ya jei!
ReplyDelete