Ombi la Mashabiki Kwa Kadinda, Kuhusu Bifu la Wema na Kajala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mashabiki na wadau mabalimbali wamemuomba Martin Kadinda amabe ni meneja wa Staa Wema Sepetu, asaidie kuwapatatisha wema na Kajala ili warudi kuwa karibu kama zamani.

Mashabiki na wadau hao walimwaga komenti za ombi hilo kwenye ukurasa wa Kajala mtandaoni mara baada ya kajala kubandika picha akiwa na Kadinda na kuonekana wanafuraha.

Kweli martin jaribu kuwaweka sawa i know wema ni mtu mwenye moyo wa huruma sana atamsamehe tu mshawishi” mmoja alikomenti akimsisitiza Kadinda.

Mbali na kuwa Wema na Kajala wapo kwenye mtafaruku, lakini Kadinda amekuwa akionekana kutoingilia ugomvi wao na kuendelea kuwa na urafiki na Kajala japo kuwa yeye ni meneja wa Wema Sepetu.

Bila shaka maombi hayo ameyapata.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Usenge mtupu... ataf*lwa yeye sasa

    ReplyDelete
  2. mbona mnamfanya kajala kama ndo mkosaji???simeni wasameheane

    ReplyDelete

Top Post Ad