AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki na wadau hao walimwaga komenti za ombi hilo kwenye ukurasa wa Kajala mtandaoni mara baada ya kajala kubandika picha akiwa na Kadinda na kuonekana wanafuraha.
“ Kweli martin jaribu kuwaweka sawa i know wema ni mtu mwenye moyo wa huruma sana atamsamehe tu mshawishi” mmoja alikomenti akimsisitiza Kadinda.
Mbali na kuwa Wema na Kajala wapo kwenye mtafaruku, lakini Kadinda amekuwa akionekana kutoingilia ugomvi wao na kuendelea kuwa na urafiki na Kajala japo kuwa yeye ni meneja wa Wema Sepetu.
Bila shaka maombi hayo ameyapata.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Usenge mtupu... ataf*lwa yeye sasa
ReplyDeletembona mnamfanya kajala kama ndo mkosaji???simeni wasameheane
ReplyDelete