Breaking News: Ajali ya Daladala yaua watu 19 Leo jijini Mbeya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ajali ya Daladala imeua watu 19 eneo maarufu kama Uwanja wa ndege, Kiwila, Mkoani Mbeya baada ya daladala hiyo kutumbukia kwenye Mto.
 
Habari  toka  eneo la tukio zinaarifu kuwa watu wawili tu ndio wamepona akiwemo kondakta. 
 
Ajali hii imetokea baada  ya Coaster zinazofanya safari zake kati ya Mbeya na Kyela kugoma hivyo baadhi ya daladala za mjini kuamua kubeba abiria.





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. INNA LILLAH WAINNA ILLAH RAJIUN

    ReplyDelete
  2. EEEE MUNGU TUSEME NINI BASI!!!! TUNUSURU ULIE JUUUUU DAH

    ReplyDelete

Top Post Ad