AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali.
Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa mdau mkubwa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, hivyo msiba wake umegusa tasnia hiyo.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Secky mahali pema peponi. AMEN.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmmhh mabwaku icho kichwa cha habari!! have some respect kwa maiti angalau izikwe kwanza duuh pipoz!!!
ReplyDeleteDAWA YA WANAUME MICHEPUKO NI MAOMBI TU. WAMAMA TUAMKE. WANAUME MICHEPUKO WAFE TU WATUEPUSHIE BALAA ZA MAGONJWA NA STRESS ZISIZO NA MPANGO, FINALLY MIHELA YOTE ALOKUWA ANAHONGA WANAWAKE INARUDI KWA MKEWE. HONGERA BI ZAWADI KWA KUDUMU KATIKA MAOMBI, WEWE NI MFANO WA KUIGWA.
ReplyDeleteKILA MTU ATAUCHUKUUUUUWA MZIGO WAKE MWENYEWE.......
ReplyDeleteALIUMIZWA NA KIIOO KWA NAMNA GANI?? MBONA HABARI HAIJAKAMILIKA????????????
ReplyDeletemaaelezo hayajitoshelezi pia kichwa cha habari ni utata mtupu!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHaya Lulu..who is next? ?!!
ReplyDelete