Itanichekesha sana kama Boko haram watapoa katika utawala wa Bukhari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dunia ina mambo sana. Uchaguzi umepita Nigeria na kigezo kilikuwa ni Boko Haramu. Kabla palikuwa na tetesi kuwa askari fulani walikuwa wakisusa kuwapiga Boko Haram. Jonathan akapewa shinikizo lingine kuwamaliza boko haramu pamoja na suala la rushwa mbalo kila mtu anajua Nigeria haiwezi tibika kwa hilo zaidi ya propaganda kupikwa ili kubadilisha wapiga kura wasiulize rushwa. Rais Bukhari Dictator wa zamani aliengia kiraia ana kila connection katika majeshi na haswa watu wanye imani moja na yeye. Rais aliyekuwa na mikono na support kutoka kaskazini na nchi za jirani kaskazini, leo kaahidi kuwa Boko haramu watapotezwa haraka, sijui itakuwa haraka kama kuzima mshumaa. Cha kujiuliza ni kwamba hakuwa na mkono katika kuhujumu majeshi waislam wasiwapige boko haramu? Je hana link na boko haramu? Je anawezejae kuiambia dunia si boko haramu wameacha kwa kuona kaingia rais wao na pengine kuna hatua za hila zinatengenezwa ili baadhi ya malengo ya boko haramu yaanze jadiliwa na kupitishwa, kisha akiingia tena Mkristu Boko haramu waibuke na kuleta fujo ili lingine lipite? Itashangaza sana wakifanikiwa kuzima boko haramu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kweli kuna mijitu midini sana,yaani kuwa rais muislam tayarii imeshakuuma!

    ReplyDelete

Top Post Ad