AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.
Chanzo: Kutoka magazetini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Paul Makonda huyu-huyu aliyemtandika makofi Jaji Warioba?
ReplyDeletetatizo sio makondo shida ni hawa wakuu wa wilaya hawana kz, hawajui hata kwa nn wanateuliwa
ReplyDeleteKwa mantiki hiyo basi Gwajima ataitwa pia na TISS,EWURA,TABOA,TCRA,SSRA,TBS , ili akatoe maelezo. Akimaliza huko ataitwa TANESCO kuhusu luku na TZ AIRPORT AUTHORITY kuhusu chopper yake.Yote hiyo ni Katiba pendekezwa.
ReplyDeleteMAKONDA, TULIA DOGO SUTI HIYO YA U DC. HAIKUYOSHI
ReplyDelete