AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchambuzi maarufu wa soka Edo Kumwembe ambaye pia hufanya uchambuzi kwenye kituo hicho, amepost taairfia hiyo kwenye akaunti yake ya Facebook kwa kuandika:
“….Mtangazaji maarufu wa BBC, Charles Hillary, anarudi nyumbani kujiunga na kituo cha Azam TV…..welcome home LEGEND….”
Hata hivyo chanzo kingine cha kuaminika cha ndani ya Azam TV kimethibitisha kuwa Hillary anarudi kujiunga na kituo hicho.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Aaaaah Fazaa safi sanaa karibu tema tumezikumbuka huduma zako ktk midia kibongobongo haswa soka.,karbu rais wa TFF baadae kwa mtszamo wangu tu msikasirike washkaji...,PASAKA NJEMA..
ReplyDeleteDaaaah afu we mdau umewaza nini?ngoja niichekeche kwanza km itafaaa,karibu home brother tutakumis Epl azam mnatisha.ista njema kuwa makini
ReplyDelete