AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makada hao ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Dunda, Yusufu Mrisho Kikwete ambaye ni kitinda mimba wa familia ya Rais Jakaya Kikwete na Abdursharrif Zahoro ambaye ni mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi CCM wilayani humo.
Wakati makada hao wakitangaza nia hiyo juzi, tayari mbunge wa jimbo hilo Dk Shukuru Kawambwa alikwisha tangaza nia ya kutaka kutetea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Naye Yusuph Kikwete alisema ana matumaini makubwa ya kushinda kwa kuwa, amekuwa akiungwa mkono na makundi mbalimbali, wakiwamo vijana ambao wamekuwa wakimshawishi kugombea nafasi hiyo.
“Ni kweli kuna makundi mengi, yamekuwa yakinishawishi kuingia katika kinyang’anyiro na baada ya kutafakari sana na kujipima kama ilivyo kwa wanasiasa wengine, nimeona siwezi kukataa ushawishi huo, maana kuna watu wameona uwezo wangu wa kiuongozi,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pambafu!!!
ReplyDelete