Ukweli Kuhusu Uvumi Ulionea Juu ya 'Ndoa' ya Zari na Diamond Huu Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kama wewe ni mmoja kati ya watu waliochukizwa au kuumizwa na taarifa kuhusu ndoa ya mastaa wawili wanao make headline kwa sasa, zarinah hassan aka zari pamoja na mpenzi wake diamond platnumz, taarifa ikufikie kuwa uvumi huo haukuwa kweli, diamond na zari "HAWAJAFUNGA NDOA"

Uvumi huo ulienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, mara baada ya mastaa hao kupiga picha wakiwa wamevaa mavazi ya harusi na kuzitundika kwenye mitandao ya kijamii. 

Taarifa zinasema picha hizo zilipigwa mahsusi kwa ajili ya kuitangaza shoo kubwa ya super star kutoka uganda, ZARINAH HASSAN . Show hiyo inayotambulika kwa jina la CIROC ALL WHITE PARTY ambayo itafanyika kwenye ukumbi mkubwa pale MLIMANI CITY mei moja. 

Zile picha walipiga kwa ajili ya kuitangaza show hiyo kubwa inayotabiriwa kuvunja record kwa kuhudhuriwa na mastaa pamoja na watu mbali mbali mashuhuli.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa mbona zari hasemi kama ni all white party

    ReplyDelete
  2. kweli hayatuhusu

    ReplyDelete
  3. haaaa wamechemka kweli umaarufu kazi

    ReplyDelete
  4. Mmmmmm,,,,,,,h ama kweli kaz imo

    ReplyDelete

Top Post Ad