AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amefanikiwa kuondoa utawala wa Lady Jaydee kwa muda mrefu.
Kwa sasa ndiyo msanii anayepata airplay kuliko wasanii wote East Africa kwenye channel za kimataifa na wimbo wake hatari sana "nobody but me".
Mwana muziki huyu ambae ni mwanasheria kitaaluma music wake na uimbaji wake una standards za kimataifa unaweza kupenya popote
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Yupo juu kiukweli. Anastahili sifa na pongezi. La muhimu ajitambue na kuwa kioo cha jamii kifaacho kuigwa.
ReplyDelete