AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi unapozidi kumbembeleza, we unaongea naye ye yuko busy anachat kwa text na watu wengine na ninapojitahdi kutaka kugundua anachat na nani, ndivyo simu yake anaiweka mbali na upeo wa macho yangu.
Mara nyingi mimi ndo wa kwanza kumshtua kene simu kila siku, nisipofanya hivo siku inapita na ninapomuulza kama ananipenda anajibu ananipenda. Naomba mnisaidie huyu binti ananipenda kweli? Au yupo kimaslah zaidi?
Ushauri kwa mabinti kama mwanaume huwezi kumpenda au haujakidhi vigezo vyako, mtose siku ileile ya kwanza sio kukubal Kinafiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
we nawe unamatatizo mtu anamzigo wake kaubeba wewe umemwomba amekataa ss unahangaika nn mwache abaki na mzigo wake hajazidiwa kuubeba mzigo huo. pole
ReplyDeleteBabu jinga
ReplyDeleteACHAA NAYE, WAPO WENGI HAO POCHI YAKO TU
ReplyDeletebabu huitaji kuwa na phD kujua uyo mwanamke hakupendi.so muache
ReplyDeletetupaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kule
ReplyDeleteukitataka watoto wazuri punguza ubahili
ReplyDelete