AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwa niaba ya mwenzake, Penny alisema kelele za kila siku wamezichoka na baada ya kukaa pamoja, wameona hiki ni kipindi cha kupiga kazi badala ya kupoteza muda.
“Tumeamua kuandaa filamu yetu ya pamoja ambayo ninaamini itakuwa ni kali na ya aina yake. Tumepoteza muda mwingi na hivi sasa tunahitaji kufanya kazi, tunachowaomba mashabiki wakae tayari kutupokea na hatutaki tena kushabikia mambo ya Zari na Diamond kwa sababu hayatuhusu,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MNAAKILI SANA WATOTO WAZURI, JITIHADA ZENU ZITAZAA MATUNDA INSHA ALLAH
ReplyDeletezibeni masikio mambo ya Domo na Zari ni sifa zisizokuwa na tija, wanapenda attesion hata wakinya wanataka watu wajue, ni mahayawani wasojijua.
ReplyDeletenyinyi nina wasi mnapata commission kwa diamond!!
ReplyDeletekuutwa kurusha habari za d na z humu. mmmh mnazichuchua sasa
GOOD NEWS
ReplyDeleteAcheni utoto fanyeni kaz mbona D anapga kaz Z ana mimba af anapesa nyie mnauza sura tu,...!! Fanya kaz acheni upuui
ReplyDelete