AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto akiwa Ziarani Mjini Mwanza Katika Mkutano wa ACT Wazalendo uliofanyika Katika Viwanja vya Furahisi Ameweka Bayana kuwa Kama Jina la Lowassa litatolewa katika Kinyang'anyiro cha kugombea Urais 2015 kwa Ticket ya CCM basi ACT wazalendo wako radhi Kumpokea kwenye Chama chao kwa Sharti la Kutangaza Hadharani Thamani ya Mali zake na Utajiri alionao na chanzo chake ....
Je Unalionaje hilo?
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK