AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alianza Wema, akaja Jokate na list itaendelea mpaka tukio la utolewaji wa Tuzo hizo... Vitu hivi vyote vinatokea sio kwa bahati mbaya ila watu hao kwa kujua Ally hana uwezo wa kushinda tuzo mbele ya Daimond baasi wameamua kwa makusudi kumfanyia campaign ally ili wafanye revenge ...
Ila uzuri mmoja Mondi bin laden amewaambia kuwa yeye sio size yao..... Atawapelepweta bure
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
uwache ujinga wewe UDAKUZ. hata raisi anaweza mpigia alli kiba kama atampenda. so hawo maa x wa Domo ulitaka wampigie nani. wangempigia x wao pia mngesema wanajipendekeza binaadamu hamuachi unafik hata cku moja.
ReplyDeleteULITAKA WAMPIGIE NANI DAI? ALAFU AJIONE ANAPAPATIKIWA AU... ANAKUMBUKA ALIVYOPATA 7 MWAKA JANA KWA AJILI YA WEMA, NDO MAANA ANAROPOKA ROPOKA TUU.
ReplyDeleteDomo amwambie bi kizee ampigie promo, aache wanaopenda ali wampigie, tatizo liko wapi kwa mfano.
ReplyDeleteALI KIBA yuko juuuuu!! huyu domo bila gia ya mheshimiwa pale mjengoni angebaki na domo lake tu hivyo hivyo!! BIG UP Ali K!
ReplyDeleteHacheni ujinga wenu hata mfanyeje Diamond yuko juu na juu zaid hata kiba akipata tuzo 10 bado sanaa atasubili sanaa dai mwenyewe hana mpango na hizo tuzo nalevo ya kimataifa huyo
ReplyDeletemwandishi bwege wewe dizaini unataka diomond apigiwe kura, kila mtu na maoni yake
ReplyDeleteEti Domo ana level ya kimataifa???For realy? Bado sana kuwa nominated BET ndio mumpe promo kubwa ki hivyo,,,,,Yupo Juu Bongo Tena Dar sio kila mkoa wa Tanzania una mfagilia,,,,,Kimataifa labda Naigeria Davido alisema atamfanya awe femus,,,, ukipenda mtu sio usifie ujinga yupo juuu kwa kubadikisha na kuzalilisha wanake hapo sawa,,,nayeye si anategemea kupata mtoto wa kike asubiri akue aone atakovyo zalilishwa,,,,,
ReplyDeleteFara wewe anazalilisha wanawake wewe umepitia na kuwaacha wangapi? Wivu tu ndo unawasumbua na roho zenu mbaya
ReplyDeletehuyo jamaa ni fara sana huyo kiba ndiye anayezalisha na si ajabu hata watoto wengine hawajui DAI ameshazaa na nani wewe msenge? acheni wivu zenu za kijinga mtasubuli sana. (MTAPIGANA SANA LAKINI HAMTAFANIKIWA) WAJINGA SANA MNAOMUONEA WIVU
ReplyDelete