AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond ameshare picha ya fomu yakeya kutuma videoya wimbo wake ‘Nana’ ambayo ni collabo yake na Mr Flavour kwenda BET International, video iliyoongozwa na Godfather wa Afrika Kusini inayotarajiwa kutoka May 29, 2015.
Aidha meneja wa Diamond, Babu Tale amesema kuwa watanzania na mashabiki wa muziki wa Diamond wasubiri Ijumaaa ifike watajua kuwa ni collabo gani wataachia kwani tayari wamefanya collabo nyingi za kimataifa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hongera kaka
ReplyDelete