AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond ameyaongea hayo hivi punde katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV kuelekea katika shoo ya Zari All White Party itakayofanyika leo usiku katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.
Katika mahojiano hayo ambayo Diamond ameambatana na mpenzi wake huyo, ameongeza kuwa anatarajia kuingia katika ndoa mwaka huu.
Kwa upande wa Zari yeye amefunguka kuwa bado hajajua jina watakalompa mtoto wao wa kike anayetarajiwa kuzaliwa mwaka huu ila watampatia jina zuri la Kiislam na lenye mvuto.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Zari ni mkristo anajaribu kujipendekeza tena kwenye uislam, hana jipya pete avalishwe bila matanga ya kwenye magazeti? hakuna ndoa hapo ni sifa za kijinga.
ReplyDeleteACHA UBAGUZI WA KIDINI WEWE!!
DeleteDOMO ANA ACT TUU ILI APATE MTOTO, HAWEZI KUOA NI MUONGO SANA, BI KIZEE KAPATIKANA HAJUI KAFIKA KWA MTOTO WA TANDALE YY APANUE TUU.
ReplyDeleteWIVU WAKO HUNA LOLOTE!! UNATAMANI WEWE NDO UNGEKUWA DIAMOND!!!
Delete