google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Dudu Baya 'Siwezi Kufanya Kazi na Mr Nice Mpaka Pale Atakapo Badilika' | UDAKU SPECIAL

Dudu Baya 'Siwezi Kufanya Kazi na Mr Nice Mpaka Pale Atakapo Badilika'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapper mkongwe, Dudu Baya amesema kwa sasa amekuwa rafiki mkubwa na aliyewahi kuwa hasimu wake, Mr Nice na kuweka nia yake ya kufanya naye kazi ya pamoja.

Dudu amesema hayo alipoongea na Enewz ya EATV na kuongeza kuwa mpaka sasa kinachochelewesha collabo kati yao, ni mtindo wa muziki wa TAKEU ambao Nice anaufanya.

“Unajua naweza kuingia studio kufanya ngoma na Nice endapo atabadilika na tukafanya rekodi yenye mahadhi mengine kutokana na msimamo wangu mimi siwezi kunengua hata siku moja,” amesema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nyie mmekwisha hamna kitu, Mlichezea shilling chooni.

    ReplyDelete

Top Post Ad