AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa Bongo Movies mwenye mvuto wa aina yake, Ester Kiama ameibuka na kuwachana mastaa wa kike wanaopenda kuiba waume za watu kwamba waache kwani si tabia nzuri.
Akizungumza na GPL Ester alifunguka kuwa mastaa wanaochukua waume za watu, tabia zao siyo nzuri na kibaya zaidi wakishawachukua wanajigamba ili watu wawaone wako juu mjini wakati hawana lolote.
“
Siyo kwamba sijawahi kuwa na mume wa mtu, nilishawahi lakini nimetokea kuwachukia sana kwani hawana faida zaidi ya kuwapotezea wasichana muda wao, nimejifunza mengi na sitarudia tena hivyo nawasihi wenzangu waache kuiba waume za watu kwani watarogwa tu,” alisema Ester
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
KESI YA NYANI KUMSINGIZIA NGEDERE NDIYE MWIZI WA MAHINDI WAKATI YEYE MWENYEWE NI MWIZI MZOEFU WA MAHINDI
ReplyDelete