Lucy Komba: Tuna Zamu ya Kupika na Mume Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkongwe wa sinema za Kibongo ambaye amekita makazi yake nchini Denmark , Lucy Komba ameweka bayana kuwa katika suala la mapishi anapokuwa nyumbani, huwa wanawekeana zamu ya kupika na mumewe.
Lucy Komba akiwa katika pozi na mumewe .
Lucy alivujisha taarifa hiyo baada ya mwanahabari wetu kumuuliza juu ya ratiba zake za mapishi anapokuwa nyumbani ndipo alifunguka :
“Huwa tunawekeana zamu ya kupika na mume wangu, mfano kama leo , mimi nipo nyumbani lakini sipiki namsubiri atoke kwenye mihangaiko yake aje apike , huku ndivyo mambo yanavyokwenda tofauti kidogo na huko nyumbani (Bongo ) kwamba mwanamke pekee ndiye mwenye jukumu la kupika.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad