AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wolper aliandika kuwa japo anapenda ufundi kidogo lakini yeye anapenda pesa na kuelezakuwa yeye mwenyewe ni fundi.
“Me team chapaaaa ufundi nashobokea kwa mbaliiii siuzimii sana maana me mwenyewe fundi seremala chaaaaaa”-Wolper aliandika mala baada ya kuweka picha ya kanga iliyoandikwa maneno ‘Mapenzi Pesa, Ufundi Peleja Veta'.
Wewe je upo team gani? funguka
Mzee wa Ubuyu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
PESA TU
ReplyDeleteFWEZA baba ndio mpango mzima......... ufundi aka mapenzi yameisha zamaaaani za kale........
ReplyDelete