AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbowe kawaambia sentensi moja tu... "Serikali iliyopo haina uwezo wa kutatua matatizo sio ya nyie tu madereva, bali na makundi mengine ya kijamii ikiwemo wakulima, wafugaji, walimu, madaktari, wauguzi, askari nk... hivyo njia pekee ni nyie kuendelea na kazi na kuvumilia miezi michache iliyobaki kisha itaingia serikali makini itatue matatizo yenu".
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
VIVA CHADEMA/UKAWA, VIVA MH. FREEMAN MBOWE!!! Nyie ndiye wakombozi wa watanzania mliobaki, Mungu awabariki sana, AAAAmeen.
ReplyDeletesiasa uchwaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....................wale Malaya wanaojiuza mle club bilz nao awape mikataba mana wapo kila cku kibaruani c kushabikia ya madereva na wamiliki wa mabasi. pfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ReplyDelete