AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kijana ni Icon wa ukweli Tanzania...Baada ya wabongo kumkomalia vilivyo mbunifu wa marekani aliyemtuhumu chibu kumuibia kazi zake, sasa ameamua kuifuta ile post yake na kutupia nyingine
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni hivi huyo mwanamitindo ana akili sana ametumia fursa ameona ya nini mavutano wakati anaweza kutumia nafasi hiyo kupata promo ya bure! Wambele wambele tu>> Sasa kaka yetu hapo kwakuwa huwa hafikirii mbali ataona mwanamitindo kamuogopa kumbe mwenzake ametumia fursa to his best advantage
ReplyDeletegood you got it...
DeleteAibu, mkaonaga aibu kwa kweli, kajisalimisha nini wakati mmeenda kujazana kwenye page ya watu na kuanza kusutana na kutukanana kiswahili. Kaamua tu isiwe tabu kaitoa post. Acheni kujidhalilisha wabongo kwa kushobokea makosa. Huyo stylist wa D kakosea kuiba kazi za watu, na kama angekuwa hajakosea hata huyo D mwenyewe asingebadilisha post yake from kumuita designer to stylist. Na baada ya kubadilisha ndio jamaa na yeye katoa. Lakini ni aibu kwa mwanamuziki mkubwa kama D kusema uwongo kila mara.
ReplyDelete