AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.
“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema Lulu.
GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapendi masharobaro kwa kuwa hawajui kuhonga.. na mzee kufa ni rahisi
ReplyDeleteLulu yuko sahihi, hakulelewa na baba na hana kaka. Hajawahi kupata mtu anayeweza kuziba mapengo hayo zaidi ya hao wanaotaka mapenzi kwake. Tatizo ni kwamba anakutana na watu wasio sahihi kwake. Ni ngumu kumuelewa lakini kila mmoja wetu anaingia kwenye mahusiano kwa sababu zake, haijalishi kama ni sababu sahihi au si sahihi!
Delete