AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kajala amekiambia kipindi cha The Sporah Show hivi karibuni kuwa bado anampenda Wema na kumheshimu.
“Mimi simchukii Wema, mimi nampenda Wema, kusema ningependa kurudisha urafiki na Wema inakuwa ngumu sana, kwa sababu yeye tayari anachuki na sijui ana chuki kiasi gani? Mimi nataka kusema ni mtu ambaye nampenda na nakaaga nasema namheshimu, ni mtu ambaye alinisaidia,” alisema Kajala.
Pia Kajala amekanusha kutembea na mpenzi wa zamani wa rafiki yake huyo hali iliyozua ugomvi baina yao na kusababisha mpaka sasa kutoelewana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nenda tena ksa wema utauwawa yule ni msinginda ana roho mbaya kwanza mama yake hakuraki umepigwa chupa na mtuu usiye mjuwa utakuja tiliwa sumu hujijuwi uyo anajeshi lake petit watakuchangiya wakupige vizuri mana wawo hata serikali haithubutu kufika mlangoni kwa wema kwahiyo fikiriya mwanao PAULA anakuhitajiya bado kwani siku zote ulikuwa mbali naye huku ishi ao umekumbuka ku sagwa pumbavu weye ninekudharau kwanza nilikuhisi strong kumbe hujiwezi
ReplyDeletewewe anony ni hater wa Wema tu mxxxxxxxxxxxxxxxxx
ReplyDeleteHUYU MWENZIE ANATAKA KUREKESHE YEYE ANATAKA KUHARIBI. JAMANI TUSAMEHEANE ILI BABA WA MBINGUNI ATUSAMEHE NA SISI. KAJALA BIG UP KWA KULIONA HILO. WEMA ONYESHA WEMA WAKO YAISHE HAYA.
ReplyDeleteBora akuchukie hivyohivyo
ReplyDeleteili msiwe marafiki tena.Hamfanani tabia kabisaaaaaaaaaaaaaaaa.