AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndukumana ambaye ni mwanasoka kwenye klabu moja ya soka nchini Rwanda ameyazungumza hayo hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano na mtangazaji wa Clouds TV,Zamaradi Mketema alisema kuwa ingawa hawaishi pamoja na Irene Uwoya lakini hawajaachana.
‘Sijaachana na Irene Uwoya ingawa hatuishi pamoja yeye anaishi Dar mie naishi Rwanda na bado nacheza soka ila nategemea kusomea ukocha baada ya kustaafu soka,’alisema Ndikumana.
Irene na Ndikumana walifunga ndoa mwaka 2008 na kubahatika kupata mtoto mmoja aitwaye Krish.
Cloudsfm.com
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ushauri wa bure kwa irene "penda unapopendwa, utakuja penda usipopendwa" mumeo anakupenda sana..
ReplyDeleteIRENE NI SIKIO LA KUFA, ATAKUJA KUJITIA BAADAE
ReplyDeleteHuyu nae kinganganizi, bibie hakutaki wewe kutwa mimi sijachana na Irene uwoya, heee, kwani kuachana au kutoachana ni big issue, kupenda ni sehemu zote mbili, mwanamke au mwanaume, mwanamke ajapenda, ajaridhika kwa upendo mwache anze zake, kama vile wanaume walivyokuwa na mamuzi, wakiwachoka wanawake utawaona haoooo, mara nyumba ndogo,mwishowe wanatimka kabisa basi na wanawake nao wawe hivyoo hivyoo, binadamu wote sawa, au mume au mke ni sawa.
ReplyDelete