AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tetesi hizo zimekuwepo kwa muda sasa japo wawili hao bado hawajaweza kuthibitisha muungano wao.
Mtangazaji namba moja kwa udaku nchini, Soudy Brown wa Clouds FM alijaribu kumtafuta Jokate kutaka kutegua kitendawili hicho lakini kama ilivyotarajiwa, Jokate aliishia kuangua kicheko tu na kutotoa jibu.
Wafuatiliaji wa mambo wameenda mbali zaidi na kudai kuwa wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja kwenye sehemu kadhaa ikiwemo nyumbani kwa Alikiba.
Wengine wamefuatilia baadhi ya picha zao mitandao ya kijamii na kugundua kuwa Jokate amewahi kuivaa kofia ya mkeka ya Alikiba!
Bongo5 binafsi haijaweza kuthibitisha uwepo wa uhusiano huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nawapenda ikiwa kwel ntafurahi
ReplyDeleteIla wawe makini na Wema maana yuko katika kumfukuzia Ali Kiba kwa namna yoyote ile. Eti anajifanya ku m promote wakati ana agenda yake. Wema acha watu waendelee na maisha yao. Wewe sasa kwishnei. mfyuuu
ReplyDelete