Picha: Siku Mashetani Yangu Yakinipanda Nitawambia Kitu-Kitale

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii ni moja ya picha iliyosabisha mafuriko ya COMMENTS na LIKES  mtandaoni. Hawa ni mastaa wa hapa Bongo, Kitale ‘mkudesimba’ na Vj Penny.

Kitale alibandika picha hii kwenye ukurasa wake na kuiandikia “Kuna siku mashetani yng yakinikalia vibaya nitawambia kitu” kisha kum- tag penny na kumalizia naneno haya….UfundiPelekaVeta ….MapenziAuPesa.

Mashbiki wengi walishusha komenti za kumtaka Kitale awambie hicho kitu, huku wengine wasimshauri achukue mrembo penny kwani watatengeneza bonge la COUPLE.

Kiufupi kila mtu aliandika lake lakini hadi sasa Kitale hakujibu komenti hata za mashabiki hao, tuendelee kuisubili hiyo siku mashetani yake yakimpanda.

Mzee wa Ubuyu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. YASHINDWE KWA JINA LA YESU HAYO MASHETANI. NA KAMWE YASIPANDE!!!

    ReplyDelete
  2. Hahahahaha bongo movie kuna vituko

    ReplyDelete

Top Post Ad