AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kitale alibandika picha hii kwenye ukurasa wake na kuiandikia “Kuna siku mashetani yng yakinikalia vibaya nitawambia kitu” kisha kum- tag penny na kumalizia naneno haya….UfundiPelekaVeta ….MapenziAuPesa.
Mashbiki wengi walishusha komenti za kumtaka Kitale awambie hicho kitu, huku wengine wasimshauri achukue mrembo penny kwani watatengeneza bonge la COUPLE.
Kiufupi kila mtu aliandika lake lakini hadi sasa Kitale hakujibu komenti hata za mashabiki hao, tuendelee kuisubili hiyo siku mashetani yake yakimpanda.
Mzee wa Ubuyu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
YASHINDWE KWA JINA LA YESU HAYO MASHETANI. NA KAMWE YASIPANDE!!!
ReplyDeleteHahahahaha bongo movie kuna vituko
ReplyDelete