AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunt Ezekiel na Wema Sepetu nimarafiki wa karibu sana japokuwa hivi juzi kati kuliripotiwa na vyombo mablimbali vya ukudaku kuwa urafiki wao umeyumba baada ya kusemekana Aunt aliipigia promo show ya Zari All White Party iliyofanyka siku ya mei mosi.
Kitendo cha Kajala kuhudhulia kwenye Baby Shower ya Aunt kamezidisha minong’ono ya chini kwa chini kuwa inawezekan ikawa kweli kuwa hausinao ya Aunt na Wema yameyumba kwani Kajala na Wema kwa muda sasa wamekuwa hawapo sawa.
Hongera sana Kajala na Aunty kwa kuonyesha upendo.
Mzee wa Ubuyu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Halafu mmependezaaaa. Inshallah Antie ujifungue salama na wanenu waje kuwa marafiki kama nyie mama zao.
ReplyDeleteUmeishazikaangu mbuyu fresh sasa unawaachia wenye meno strong wazitafune huku wewe umekaa pembeni unacheka kwa pozi zote yes hii kweli ni UDAKU kwenda mbele hii sheria mpya ya mtandao ikianza kutumika offically naona kazi yako mshikaji itayumbayumba
ReplyDelete