Picha ya Aunty na Kajala Kwenye ‘Baby Shower Party’ Yazua Minong’ono Mtandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Picha ya mastaa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja wakiwa wamekumbatian kwenye sherehe ya Aunt Ezekiel ‘Baby Shower Party’ikiwa nikumpa zawadi mzazi mtarajiwa iliyofanyika usiku wa jana yazua minong’ono ya hapa na pale miongoni mwa walioandika komenti kwenye picha hiyo iliwekwa mtandaoni kuhusiana na mahusiano ya sasa ya kati ya Aunt na Wema Sepetu.

Aunt Ezekiel na Wema Sepetu  nimarafiki wa karibu sana japokuwa hivi juzi kati kuliripotiwa  na vyombo mablimbali vya ukudaku kuwa urafiki wao umeyumba baada ya kusemekana Aunt aliipigia promo show ya Zari All White Party iliyofanyka siku ya mei mosi.

Kitendo cha Kajala kuhudhulia kwenye Baby Shower ya Aunt   kamezidisha minong’ono ya chini kwa chini kuwa inawezekan ikawa kweli kuwa hausinao ya Aunt  na Wema yameyumba kwani Kajala na Wema kwa muda sasa wamekuwa hawapo sawa.

Hongera sana Kajala na Aunty kwa kuonyesha upendo.

Mzee wa Ubuyu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Halafu mmependezaaaa. Inshallah Antie ujifungue salama na wanenu waje kuwa marafiki kama nyie mama zao.

    ReplyDelete
  2. Umeishazikaangu mbuyu fresh sasa unawaachia wenye meno strong wazitafune huku wewe umekaa pembeni unacheka kwa pozi zote yes hii kweli ni UDAKU kwenda mbele hii sheria mpya ya mtandao ikianza kutumika offically naona kazi yako mshikaji itayumbayumba

    ReplyDelete

Top Post Ad