google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Rose Ndauka 'Naichukia Sana Mvua Inaniharibia Madili Yangu Sana ila Sina la Kufanya Kwani Mungu Ndie Anayepanga' | UDAKU SPECIAL

Rose Ndauka 'Naichukia Sana Mvua Inaniharibia Madili Yangu Sana ila Sina la Kufanya Kwani Mungu Ndie Anayepanga'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa Bongo Movies Rose Ndauka amesema anakerwa na mvua zinazoendelea kunyesha hapa jijini Dar kwa kuwa zinavuruga kazi zake za kumwingizia kipato.

Staa huyo alisema kazi zake nyingi zinafanyika katika hali ya kutokuwa na mvua lakini kila anapopanga kufanya kazi hizo mvua hunyesha na kumharibia mipango yake.

Mvua naichukia maana kila ninapojipanga kwa kazi inanyesha lakini sina la kufanya kwa kuwa Mungu ndiye anayepanga inyeshe ila inakwamisha kazi zangu,” alimaliza Rose Ndauka.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nayo hii ni habari?kweli mmeishiwa habari manina zenu.

    ReplyDelete

Top Post Ad