AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Azungumza na tanuru la fulamu hivi karibuni batuli alisema kuwa yeye huwa anapenda mwanaume mpole na mwenye kujiheshimu ili watengeneze maisha yao na penzi linapo kolea na kujiachia kimahaba sura hizo hubadilika na kuwa mwiba kwake hali ambayo humfanya akimbie.
“Nina watoto wawili ambao nimezaa na wanaume wawili tofauti, niliwahi kuolewa na mwanaume aliekuja na lugha nzuri na sura yenye kuonyesha ana mapenzi ya dhati lakini baada ya kuingia ndani ya ndoa akakunjua makucha nikaamua kukimbia vivyo hivyo na wapili nilimpata kwa staili hiyo naye akawa mchungu” alisema Batuli.
Staa huyo alisema kwamba kwasasa ana mchumba ambaye badoanamwangalia kama naye ni kama aliowahi kuwakubali na na kuingia nao kwenye ndoa kasha wakawa mbogo ndiao mana ameweka ngumu kuolewa sasa mpaka ajue tabia yake kwani amechoka kuumizwa na wanaume.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK