Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu Mwigizaji Mwenzake Steven Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mrekebishatabia wa Insta ameibua Mazito Kama ifuatavyo

Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... #projects #BongoMovies!!!

@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya kumvutia mtu, usimsikilize 6.Akikupigia simu usipokee...teh 7.Akikutext usimjibu.... Haya mpaka sasa hapa ni mtu na cousin wake au mchepuko? ??

Mke wa Steve

1. @suzycleo mumy! Wewe ni mwanamke mzuri sifa zote za mke mwema unazo mtu yeyote asikuambie lolote khs ndoa yako. Pigania ndoa yako mumeo maarufu you know..watu kibao sasahivi wanaona kuna neema inamtembelea wanaanza kumnyemelea. Hizi zote ni baraka na matunda kutokana na kuwa mwanamke shupavu umekuwa na mumeo bega kwa bega iweje leo ndo mtu ale raha na mumeo wakati wewe ndo mwenye shamba?

Nachokushauri, mpende mumeo tena zaidi ya mwanzo, kama umesikia au kuona kitu ni kawaida kwenye ndoa kupata majaribu simama kama mama najua wajua udhaifu wa mumeo. ...mkamatie hapo! wakati ukifanya hayo usisahau kuomba juu yenu, Mungu ndo kila kitu. NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE!!!>>>> 2 na 3 zitafuata

Mke wa Steve Nyerere Ajibu:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WTF hivi huyu KUMA anataka kuwa superstar kupitia ndoa za watu. Kama alitendwa asijibu kwa kumtenda mwenzie aende akadili na aliyemtenda kama anamuweza.. Mtoto mdogo kujitafutia matatizo na magonjwa ya bei rahisi unaweza kudhani umeachiwa kumbe umeachwa.....!!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad