AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Hii ni siri yangu kama namiliki bastola au la, lakini mimi sioni ajabu kumiliki bastola, mtu kama mimi mwenye maadui wengi inasaidia katika ulinzi wa maisha yangu,” alieleza Wema.
Wema aliendelea kuwataka wanaojiuliza kama anamiliki bastola ama la waendelee na mambo yao mengine kwa kuwa hawatajua jambo hilo ambalo ni siri katika kuimarisha ulinzi wake.
Gazeti la Mtanzania
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
"P O I N T" Wema wangu, jibu lako limeenda shule
ReplyDeleteKama alidanganya kaolewa atashindwa kudanganya ana bastola??!! Silaha wanapewa wenye akili timamu tu. Wema hata akili ya kukataa kuvua chupi kwa wasaka mapozeo hana. Ndio atakuwa na akili ya kumiliki silaha. Wema kubali yaishee.
ReplyDeleteSasa hapo kadanganya nini wakati hajatoa jibu kama anamiliki au hamiliki. Chuki zitakuua kabla ya siku zako.
Delete