Wema Sepetu And Aunty Ezekiel End Their Hostility And Become Friends Again.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Since last week there have been constant news about Wema Sepetu and Aunty Ezekiel's friendship coming to an end.

Even yesterday some newspapers, and blogs had news of the two celebs swearing not to bury each other when they die.

But according to reports yesterday evening Wema and Aunty ended their enmity which was growing to dangerous heights.

One of their close friend called Junaithar arranged a meeting for the two to reconcile and they agreed. They even ate and drink together and these are pics when the two met.

Junaithar is the one who made sure VJ penny and Wema forgot their hostility and became best friends again.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. just forgive and forget but don't be much close!!

    ReplyDelete
  2. god is good that nice avoid conflict

    ReplyDelete
  3. There was nothing like enmity between Wema and Aunt, you guys you are a big Liars.You knew that you display wrong info without any evidence now you try to clean selves.

    ReplyDelete
  4. Kujitambua na Kuelewa Thamani yako katika Maisha ni kitu Muhimu sana katika hii Dunia. Na hivi vitu vyote viwili yani Kujitambua na Thamani vinaletelezwa na Shule. Kama huna Shule ni Nadra sana kuwa na uwezo wa Kujitambua na kuelewa Thamani yako kama Binadamu katika Maisha. Sasa hili ndilo tatizo linalowakumba watu kama huyo Aunt Ezekiel na Kajala. Hawa watoto wa watu hawana Shule kabisaaaa na sasa kwa mtaji huo wanaonyesha upungufu mkubwa katika Kujitambua na pia kuelewa Thamani yao katika Maisha. Katika mazingira kama kama hayo ni lazima watu wa aina ya Kicheche Wema watachukua nafasi hiyo Kuwanyanyasa na Kuwaburuza katika namna yoyote ile wanayotaka. Na hiki ndicho tunachokiona kutoka kwa Kicheche Wema kuwaburuza hao anaowaita marafiki zake. Kimsingi ni kuwa huyo Kicheche Wema amekuja kugundua udhaifu mkubwa waliokuwa nao hao anaowaita marafiki zake. Kwanza amekuja kugundua hawana Shule na kwa kutokuwa na Shule amewaona Hawajitambui na wala hawaelewi Thamani yao katika Maisha. Kwa hiyo yeye anachokifanya ni kuwaburuza, kuwanyanyasa na kuwadhalilisha jambo ambalo kwa mtu yoyote aliyeenda Shule hawezi kukubaliana nalo. Ndugu zangu Shule ni muhimu sana katika Maisha. Kwani licha ya kukupa uwezo katika taaluma mbalimbali lakini pia inakupa aina fulani ya uadilifu na uwezo wa kujitambua na kuelewa Thamani yako katika Maisha.............Kuwapatanisha hakutasaidia kitu kama juhudi binafsi hazitafanyika za kuhakikisha huyo Aunt Ezekiel na Kajala wanakwenda Shule. Shule ni muhimu Ndugu zangu, kwani ndio mhimili mkuu katika Maisha.

    ReplyDelete
  5. Huyo Junaithar sijui nani hana lolote lile kwani yeye mwenyewe Maisha yalishamshinda na sasa amebakia kuuza hivyo aina ya vipodozi feki ambavyo havieleweki na wala havijapimwa wala kudhibitishwa na wataalamu. Hicho anachokifanya ni kutafuta Kiki ili kuwalaghai watu wasiokuwa na uwezo wa Kujitambua na Kujua Thamani yao katika maisha ili waendeleee kuvinunua hivyo vipodozi vyake feki.

    ReplyDelete
  6. Na huyo Wema akome kutawala mashosti. Kila kitu anataka yeye awe mtoa instructions. Big up antie. Hukukubali kuyumbishwa. Wema grow up. At least try.....Utagombana na dunia nzima?? Loo..

    ReplyDelete
  7. Anonymous May 19, 2015 at 8:17 PM nningekuwa karibu yako ningekuchum hahahaha umeongea point...

    ReplyDelete
  8. Mwanamke ni kajala asiyo kubali utumwa .

    ReplyDelete
  9. Wema umekosea sana usiwachagulie marafiki au maadui wenzako kila mtu hapa TZ ana uhuru wa kufanya analo taka mradi tu asivunje sheria za nchi. Nanyi rafiki za Wema jifunze kusimama kwa miguu yenu wenyewe. mambo ya kumtegemea mtu kuendesha maisha yako matokeo yake ni kama haya tunayo yasikia kila kukicha.

    ReplyDelete
  10. Wema is a time bomb without no mercy

    ReplyDelete
  11. Mbona mmeumbuka? Nani aliwaambia kuwa wamegombana? Mliambiwa wakionekana pamoja mtaumbuka mmeona sasa?

    Kilichobaki ni kutunga story tu, haya aliyewapatanisha mara Pedeshee Daudi sijui Coco Beach kwenye mishikaki, mara Junaithar yatawashinda Hamuwaachiiiiiii.

    Mjue kuna maisha nje ya IG vile vile.

    ReplyDelete
  12. Dada Junaithar hongera sana. Imeandikwa heri wapatanishi. Mungu akupe maisha marefu yenye upendo na afya njema

    ReplyDelete

Top Post Ad