Zari Ajitetea 'Mimi Sio Msagaji ilitokea tu Nikakisi na Msichana Mwenzangu kwa katika Hali ya Furaha'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Super star kiwango anayetikisa East Africa kwa sasa , zarinah hassan aka bossy lady, amefunguka kuhusu scandal ya usagaji iliyomtafuna miezi michache iliyopita, akizungumza kupitia kipindi cha sporah show, mrembo huyo mwenye mvuto wa aina yake alifunguka kuhusu kashfa hyo, ambapo picha yake akiwa kwenye mahaba na mrembo mwenzie zilisambazwa mitandaoni na kuzua gumzo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

Mwenyewe alijitetea kuwa walikuwa kwenye starehe zao yeye pamoja rafiki zake, ambapo kila mtu alikuwa na mpenzi wake, so ilitokea tu wakajikuta wamekisi na rafiki yake huyo wa kike katika hali ya furaha kama marafiki wengine tu, na hakufikiria kuwa lile tukio lingekuwa ishu sana kwenye mitandao. aliendelea kutiririka kuwa yeye sio msagaji na anapenda wanaume kama wasichana wengine
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad