Huyu kijana wa Jirani nimfanyeje? Kila House Girl wangu anampa mimba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna kijana hapa anaangalia si te ya Jirani na anachunga ngombe za huyo Jirani

Huyu kijana ameshawapa mimba ma hg wetu watatu

Wawili aliwakana na hatukua na ushahidi Wa kumkamata moja kwa moja, hivyo tukalazimika kuwatimua hao mabinti kurudi makwao kwa nyakati tofauti

Muda ulivyopita tukasahau yakapita hayo, mwaka umepita sasa, tukaleta hg mmoja hivi ambae tulimtoa Mwanza, mm nilishasahau masuala ya huyo kijana Muda hadi juzi niliporudi home ghafla baada ya kushikwa na vidonda vya koo vilivyoniletea homa Kali

Nilipofika home nilipiga honi sana bila majibu, nikashuka nikafungua Geti dogo kwa ufunguo wangu na nilipoingia nikajifungulia Geti kubwa, cha ajabu binti Wa kazi hakutoka, nikadhan ameenda dukan, nilipoingia ndani nikasikia sauti Kali ya mahaba ikitokea chumbani kwa hg, nikasukuma mlango ahamadi dogo kamgeuza hg doggie, pamoja na kwamba nilikua naumwa nilimpa kipigo kikali yule kijana, akaniponyoka na kukimbia uchi akaenda akaruka ukuta hadi kwao, nikamwamuru hg kuvaa, kwa jinsi nilivyomwona uchi kaumbika mno Basi tu

Usiku tulishauriana sana na wife, akashauri twende police tukapewe ushauri Wa kisheria kuhusu huyu kijana maana ametusumbua kwa Muda mrefu sana
Ijumaa ya Jana tukaenda kumuona mkuu Wa kituo, akatuambia huyo dawa ni kumpa kesi ya ujambazi au madawa ya kulevya ili akakae segerea Muda mrefu hivyo nimpe laki mbili kwa kazi hiyo na hukumu ikitoka nimuongezee zingine

Hivi navyowaeleza amelala ndani tangu jana, Jumatatu karandinga litakuja kumchukua kumpeleka mahakamani kwa kesi ya ujambazi Wa silaha, kuna silaha moja ipo pale kituoni watampeleka nayo ilikosaga mtuhumiwa

Kwa kweli huyu kijana ametusumbua kwa Muda mrefu sana, mwenzie wanae kaa pamoja hapo kwao katuambia mwenzie hupewa juice, hukaangiwa mayai na kupelekewa, vyakula mbalimbali na hata wine zetu humpa
Na ndio maana tunashangaa matumizi ya ndani yamekua makubwa sana, sasa hiyo si dharau wakuu

Huyu binti tunajiandaa kumsafirisha wakati wowote, huu ni ukosefu Wa adabu kuleta jitu ndani?

Mabosi Wa huyu kijana wamekua wakinipigia simu tangu Jana wakiniomba nimuachie safari wanamfukuza, kila tukishtaki huwa wanasema hivi hivi watamfukuza

Safari hii lazima nihakikishe ananyea debe next time anaweza kulamba.....
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad