Maneno Mengine ya OMMY DIMPOZ Kuhusu Waliomtukana Instagram Baada ya Kumposti ALI KIBA Kwenye Page yake ya Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ommy Dimpoz alipost tangazo la Video mpya ya Ali Kiba lakini baada ya kupost wapo waliopita kwenye post yake @Instagram na kuanza kuandika comments za matusi.

Mwenyewe amesema hakupenda kuona watu wanaandika comments za matusi kila kitu ambacho anapost… Ommy amesema kwenye kurasa za mastaa kama yeye wanaotembelea ni watu wengi kwa hiyo sio kitu kizuri watu kuandika lugha za matusi.

Mitandao huwa inakuwa na story nyingi sana kuhusu mastaa, wakati mwingine utasikia staa huyu na huyu hawapatani, Ommy amesema wakati mwingine watu huwa wanakuza hata beef kati ya mastaa lakini beef nyingine sio za kweli.

Msikilize Gossip Cop na Ommy Dimpoz hapa kwenye U Heard ya leo JUNE 29 2015

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad