AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa za hawali zinasema watu si chini ya watano wamepoteza maisha kwenye eneo la tukio.
Basi la Kampuni ya Sabuni linalofanya safari kati ya Kagera na Mwanza limegongana na gari ndogo aina ya Land Cruiser iliyokuwa na mapadre na masista katika eneo la Bugorora nje kidogo ya Kyaka wilayani Misenyi mkoani Kagera.
Basi hilo nambari za usajiri T650 BFI na Cruiser T166 AGU ambapo waliotajwa kupoteza maisha kwa taarifa za awali ni Padre Onesmo Kahabwa na Michael Mwelinde pamoja Sista Magret Tadebe ambao ni wa Parokia ya Katoke waliokuwa wakitokea Rulenge wilayani Ngara.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
RIP
ReplyDeletemungu awalaze mahara pema peponi waumishi wa mungu tuwaombee
ReplyDelete