AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni jambo gumu kupost kitu kinachomhusu mtu ambaye hamna maelewano, ndio maana kwa post hii ya Davido watu wanapaswa kufahamu kuwa jamaa hawa wawili wanaiva chungu kimoja, na tutarajie kuwaona wakitumbuiza tena pamoja kwenye tuzo za MTV mwezi huu.
Baada ya MTV kutaja majina ya wasanii wa Afrika watakaotumbuiza wakati wa utolewaji wa tuzo za MAMA akiwemo Davido na Diamond, Davido alipost picha ya performance aliyofanya na Diamond mwaka jana kwenye tuzo hizo.
Katika picha hiyo ameandika:
“PERFORMING AGAIN LIKE THIS AT #MTVMAMA2015 !! TOO MUCH BLESSINGS…”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyie sio ndo mnapenda beef,mwenzenu ameshakua vegetarian ,nyie watanganyika endeleeni na beef zenu mtoke vizuri matako alafu watu wawaemee kisogoni,sababu mmezidi kuwa na roho mbaya kupenda kuona watu wanagombana.
ReplyDeletepeople think of money!!!
ReplyDelete