AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza jijini Dar es salaam, Afisa habari wa Simba Sc, Haji Manara amesema, wanavijana ambao msimu uliopita hawakuweza kufanya vizuri ambapo kwa msimu ujao watafanya vizuri kwasababu wameshajiandaa vya kutosha na wamekomaa ambao wataungana na wachezaji wazoefu ili kukiimarisha zaidi kikosi hicho.
Manara amesema, usajili wa safari hii umeiweka timu sawa kwa ajili ya kujiweka tayari kuchukua Ubingwa kwani wamejipanga kila eneo kwa ndani na nje ya Uwanja.
Kwa upande wa Usajili, Klabu hiyo imefanikiwa kumsajili Mganda Hamis Kiiza Diego mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia katika mechi za msimu ujao wa Ligi kuu Soka Tanzania Bara.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK